Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Atayapukutisha mapooza yake kama mzabibu, Na kuyatupa maua yake kama mzeituni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atakuwa kama mzabibu unaopukutisha zabibu mbichi, kama mzeituni unaoangusha maua yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atakuwa kama mzabibu unaopukutisha zabibu mbichi, kama mzeituni unaoangusha maua yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atakuwa kama mzabibu unaopukutisha zabibu mbichi, kama mzeituni unaoangusha maua yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atafanana na mzabibu uliopukutishwa matunda yake kabla hayajaiva, kama mzeituni unaodondosha maua yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atafanana na mzabibu uliopukutishwa matunda yake kabla hayajaiva, kama mzeituni unaodondosha maua yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atayapukutisha mapooza yake kama mzabibu, Na kuyatupa maua yake kama mzeituni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:33
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


Nchi inaomboleza, na kulegea; Lebanoni imetahayarika na kunyauka; Sharoni imekuwa kama jangwa; Bashani na Karmeli zimepukutika majani.


na nyota zikaanguka juu ya nchi kama vile mtini upukutishavyo mapooza yake, utikiswapo na upepo mwingi.