Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:31
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.


Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;


Hakika Mungu hatasikia ubatili, Wala Mwenyezi hatauangalia.


Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.


Msiitumainie dhuluma, Wala msijivune kwa unyang'anyi; Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Hakuna anayeshitaki kwa haki, wala hapana atetaye kwa kweli; hutumainia ubatili, hunena uongo; hupata mimba ya madhara, na kuzaa uovu.


BWANA asema hivi, Msijidanganye mkisema, Bila shaka Wakaldayo watatuacha na kwenda zao; maana hawatawaacha.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.