Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.