Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?
Yobu 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana? Biblia Habari Njema - BHND Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana? Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana? Neno: Bibilia Takatifu Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana? Neno: Maandiko Matakatifu Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana? BIBLIA KISWAHILI Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo? |
Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?
Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.