Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

Humshambulia na shingo ngumu, Kwa mafundo makubwa ya ngao zake;


Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Maana hawana maumivu katika kufa kwao, Na miili yao ina nguvu.


Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.


Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.