Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Humshambulia na shingo ngumu, Kwa mafundo makubwa ya ngao zake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

alikimbia kwa kiburi kumshambulia, huku ana ngao yenye mafundo makubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

alikimbia kwa kiburi kumshambulia, huku ana ngao yenye mafundo makubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

alikimbia kwa kiburi kumshambulia, huku ana ngao yenye mafundo makubwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu akiwa na ngao nene, iliyo imara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu akiwa na ngao nene, iliyo imara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Humshambulia na shingo ngumu, Kwa mafundo makubwa ya ngao zake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda, ndugu zako watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakuinamia.


Na wakati alipofadhaishwa, akazidi kumwasi BWANA, huyo mfalme Ahazi.


Kwa kuwa amenyosha mkono wake juu ya Mungu, Na kuendelea kwa kiburi kinyume cha Mwenyezi;


Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;


Nilikuwa katika raha, naye akanivunjavunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.


Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.


Maana siko mashariki wala magharibi, Wala nyikani itokako heshima.


Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.