Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwovu hana tumaini la kutoka gizani; mwisho wake ni kufa kwa upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwovu hana tumaini la kutoka gizani; mwisho wake ni kufa kwa upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwovu hana tumaini la kutoka gizani; mwisho wake ni kufa kwa upanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hukata tamaa kuokoka gizani; amewekwa kwa ajili ya upanga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hukata tamaa kuokoka gizani; amewekwa kwa ajili ya upanga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hata alipokuwa katika kusema nao, tazama, yule aliyetumwa akamshukia; naye akasema, Angalia, mabaya haya yatoka kwa BWANA; kwani mimi kumngojea BWANA tena?


Hutangatanga ili apate chakula, akisema, Ki wapi? Ajua kwamba siku ya giza i tayari karibu naye;


Hataondoka gizani; Ndimi za moto zitayakausha matawi yake, Naye ataondoka kwa pumzi za kinywa chake.


Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.


Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.


Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.


Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Kama ningemwita, naye akaniitikia; Hata hivyo singeamini kuwa amesikiza sauti yangu.


Akavitupa vile vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.