Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitakuonesha, unisikilize; Na hayo yote niliyoyaona nitayanena;


Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake, Ingawa auficha chini ya ulimi wake;


Je! Ni mtu gani mfano wa Ayubu, Anywaye mzaha kama maji?


Je! Si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika mchanga, Hao wanaopondwa kama nondo!


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Kila mtu amepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.


Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.