Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye hawategemei watakatifu wake; Naam, mbingu nazo si safi machoni pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikiwa Mungu hawaamini hata watakatifu wake, nazo mbingu si safi mbele yake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikiwa Mungu hawaamini hata watakatifu wake, nazo mbingu si safi mbele yake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikiwa Mungu hawaamini hata watakatifu wake, nazo mbingu si safi mbele yake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama Mungu hawaamini watakatifu wake, kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama Mungu hawaamini watakatifu wake, kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye hawategemei watakatifu wake; Naam, mbingu nazo si safi machoni pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mtu awaye yote atamfundisha Mungu maarifa? Naye ndiye awahukumuye walioko juu.


Tazama, hata mwezi hauangazi, Wala nyota si safi machoni pake;


Tazama, yeye hawategemei watumishi wake; Na malaika wake huwahesabia kosa;


Haya, ita sasa; je! Yuko atakayekujibu? Nawe utamwelekea yupi katika hao watakatifu?