Yobu 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali, Biblia Habari Njema - BHND Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali, Neno: Bibilia Takatifu Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa, Neno: Maandiko Matakatifu Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa, BIBLIA KISWAHILI Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae? |
Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.
Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.
Basi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana, ili ikiwezekana, usamehewe fikira hii ya moyo wako.