Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako;


Hata ukageuza roho yako kinyume cha Mungu, Na kuyatoa maneno kama hayo kinywani mwako.


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Lakini hao wasiomcha Mungu mioyoni hujiwekea hasira Hawalilii msaada hapo awafungapo.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Basi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana, ili ikiwezekana, usamehewe fikira hii ya moyo wako.