Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Utulivu wa Mungu ni mdogo sana kwako, Maliwazo ya Mungu ni madogo sana kwako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, faraja anazokupa Mungu ni ndogo mno? Au je, neno lake la upole kwako si kitu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, faraja anazokupa Mungu ni ndogo mno? Au je, neno lake la upole kwako si kitu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, faraja anazokupa Mungu ni ndogo mno? Au je, neno lake la upole kwako si kitu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, faraja za Mungu hazikutoshi, au maneno yaliyosemwa kwako kwa upole si kitu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, faraja za Mungu hazikutoshi, au maneno yaliyosemwa kwako kwa upole si kitu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Utulivu wa Mungu ni mdogo sana kwako, Maliwazo ya Mungu ni madogo sana kwako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akakaribia Sedekia, mwana wa Kenaana, akampiga Mikaya kofi la shavu, akasema, Roho ya BWANA alitokaje kwangu ili aseme na wewe?


Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.


Je! Umesikiza ushauri wa siri ya Mungu? Nawe je! Wazuia hekima iwe yako tu?


Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,


Yeye humponya aliyetaabika kwa njia ya taabu yake, Na kuyafunua masikio yao kwa maonevu.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Hapo ndipo ningefarijika hata sasa; Naam, ningejikuza katika maumivu yasiyoniacha; Kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.


Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.


Lakini Mungu, mwenye kuwafariji wanyonge, alitufariji kwa kuja kwake Tito.