Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huhisi tu maumivu ya mwili wake, Na huombolezea nafsi yake tu.


Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.