Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kwa harufu ya maji utachipuka, Na kutoa matawi kama mche.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini kwa harufu tu ya maji utachipua; utatoa matawi kama chipukizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini kwa harufu tu ya maji utachipua; utatoa matawi kama chipukizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini kwa harufu tu ya maji utachipua; utatoa matawi kama chipukizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kwa harufu ya maji utachipuka, Na kutoa matawi kama mche.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?


Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;


Mama yako alikuwa kama mzabibu, katika damu yako, uliopandwa karibu na maji; akazaa sana na kujaa matawi, kwa sababu ya maji mengi.


Majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha watu wote; wanyama wa mwituni walipata uvuli chini yake, na ndege wa angani walikaa katika matawi yake; kila kitu chenye mwili kilipata chakula kwake.