Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.


Lakini kwa harufu ya maji utachipuka, Na kutoa matawi kama mche.


Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.


Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa;