Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie.


Acha kumwangalia yeye, apate kupumzika, Hata atakapoitimiza siku yake, kama aliyeajiriwa.


Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;


Amenibomoa pande zote, nami nimetoweka; Na tumaini langu ameling'oa kama mti.


Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.


Siku zijazo Yakobo atatia mizizi; Israeli atatoa maua na kuchipuka; Nao watajaza uso wa ulimwengu matunda.


Na ijapokuwa imebaki sehemu moja katika sehemu kumi ndani yake, italiwa hii nayo; kama mvinje na kama mwaloni, ambao shina lake limebaki, ingawa imekatwa; kadhalika mbegu takatifu ndiyo shina lake.


Majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha watu wote; wanyama wa mwituni walipata uvuli chini yake, na ndege wa angani walikaa katika matawi yake; kila kitu chenye mwili kilipata chakula kwake.


Lakini kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikapate maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama katika majani ya nchi;