Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Utalitaabisha jani lipeperushwalo? Au, je! Utayafuatia hayo mabua makavu?


Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyakagua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;


Je! Ni kwa wewe kumcha yeye anakukemea? Na kuingia hukumuni nawe?


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.


Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;