Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe ungeita, nami ningekujibu; Ungekuwa na tamaa ya kazi ya mikono yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe ungeita, nami ningekujibu; Ungekuwa na tamaa ya kazi ya mikono yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Mikono yako imeniumba na kunifinyanga; Nawe utageuka na kuniangamiza?


Basi uite wakati huo, nami nitaitika; Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.


Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie.


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


BWANA atanitimizia malengo yake kwangu; Ee BWANA, fadhili zako ni za milele; Usiiache kazi ya mikono yako.


Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.


Basi wao wateswao kwa mapenzi ya Mungu na wamwekee amana roho zao, katika kutenda mema, kama kwa Muumba mwaminifu.


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, muwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake.