Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 14:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile maji yanavyotoweka katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile maji yatowekavyo katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 14:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; Hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, Wala kuamshwa usingizini.


Na maji ya baharini yatapunguka, na huo mto utakauka na kuwa pakavu.


Mbona maumivu yangu ni ya daima, na jeraha langu halina dawa, linakataa kuponywa? Je! Yamkini wewe utakuwa kwangu kama kijito kidanganyacho, na kama maji yasiyodumu?