Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yehu akawakusanya watu wote, akawaambia, Ahabu alimtumikia Baali kidogo; bali Yehu atamtumikia sana.


Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.


Sikieni sasa basi hoja zangu, Mkayasikie malalamiko ya midomo yangu.


Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.


Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.


Maana hakika maneno yangu si ya uongo; Aliyekamilika katika maarifa yu pamoja nawe.


Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika, wala hatuenendi kwa hila, wala kulichanganya neno la Mungu na uongo; bali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mbele za Mungu.