Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Laiti mngekaa kimya kabisa, ikafikiriwa kwamba mna hekima!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Laiti mngekaa kimya kabisa, ikafikiriwa kwamba mna hekima!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Laiti mngekaa kimya kabisa, ikafikiriwa kwamba mna hekima!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Laiti wote mngenyamaza! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:5
14 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?


Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Sikieni sasa basi hoja zangu, Mkayasikie malalamiko ya midomo yangu.


Je! Maneno yasiyo faida yatakuwa na mwisho? Au, kuna nini kinachokukasirisha, hata ukajibu?


Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini, Na kunivunjavunja kwa maneno?


Niangalieni, mkastaajabu, Mkaweke mkono kinywani.


Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.


Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;


Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;