Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Basi uite wakati huo, nami nitaitika; Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Je! Mwenye hoja atashindana na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu, na ajibu yeye.


Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Kama akipenda kushindana naye, Hawezi kumjibu neno moja katika elfu.


Haya, leteni maneno yenu, asema BWANA; toeni hoja zenu zenye nguvu, asema mfalme wa Yakobo.


Sikieni, enyi milima, shutuma ya BWANA, na ninyi, enyi misingi ya dunia iliyo imara; kwa maana BWANA ana shutuma na watu wake, naye atahojiana na Israeli.