Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uondoe mkono wako usinilemee; Na utisho wako usinitie hofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwanza uniondolee mkono wako unaonipiga, na usiniangamize kwa kitisho chako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwanza uniondolee mkono wako unaonipiga, na usiniangamize kwa kitisho chako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwanza uniondolee mkono wako unaonipiga, na usiniangamize kwa kitisho chako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ondoa mkono wako uwe mbali nami, uache kuniogofya kwa vitisho vyako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uondoe mkono wako usinilemee; Na utisho wako usinitie hofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Siku zangu si chache? Acha basi, Usinisumbue, nipate angaa kutulizwa moyo kidogo.


Je! Huo ukuu wake hautawatia hofu, Na utisho wake hautawaangukia?


Lakini msinifanyie mambo mawili, hayo tu, Ndipo nami sitajificha usoni pako;


Tazama, utisho wangu hautakutia hofu wewe, Wala sitakulemea kwa uzito.


Na aniondolee fimbo yake, Na utisho wake usinitie hofu;


Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.


Uniondolee pigo lako; Kwa mapigo ya mkono wako nimeangamia.


Lakini niliuzuia mkono wangu, nikatenda kwa ajili ya jina langu, lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao mbele ya macho yao niliwatoa.