Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini msinifanyie mambo mawili, hayo tu, Ndipo nami sitajificha usoni pako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu wangu, nijalie tu haya mawili, nami sitajificha mbali na wewe:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu wangu, nijalie tu haya mawili, nami sitajificha mbali na wewe:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu wangu, nijalie tu haya mawili, nami sitajificha mbali na wewe:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini msinifanyie mambo mawili, hayo tu, Ndipo nami sitajificha usoni pako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yuko nani atakayeshindana nami? Maana sasa nitanyamaza kimya na kukata roho.


Uondoe mkono wako usinilemee; Na utisho wako usinitie hofu.


Giza nalo halikufichi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawasawa.