Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yote mnayoyajua, mimi pia nayajua. Mimi si mtu duni kuliko nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yote mnayoyajua, mimi pia nayajua. Mimi si mtu duni kuliko nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yote mnayoyajua, mimi pia nayajua. Mimi si mtu duni kuliko nyinyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi; Mimi si duni kuliko ninyi; Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo?


Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.


Ndiposa Ayubu hufunua kinywa chake kwa ubatili; Huongeza maneno pasipo maarifa.


Zisikizeni hizo kelele za sauti yake, Na uvumi utokao kinywani mwake.


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.