Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 13:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 13:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akajibu, akasema, Basi, nimeshika kusema na Bwana, nami ni mavumbi na majivu tu.


BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Je! Huo ukuu wake hautawatia hofu, Na utisho wake hautawaangukia?


Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Je! Si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika mchanga, Hao wanaopondwa kama nondo!


Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


Ziwe mbele za BWANA daima, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


Uso wa BWANA ni juu ya watenda mabaya, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


BWANA akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.


Kwa maana twajua ya kuwa nyumba ya maskani yetu iliyo ya dunia hii ikiharibiwa, tunalo jengo litokalo kwa Mungu, nyumba isiyofanywa kwa mikono, iliyo ya milele mbinguni.