Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 12:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwake kuna nguvu na ushindi; anayedanganywa na anayedanganya, wote wawili ni wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 12:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hekima na amri zina yeye [Mungu]; Yeye anayo ushauri na fahamu.


Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?


Je! Itafaa yeye kuwatafuta ninyi? Au, kama kumdanganya mtu, je! Mtamdanganya yeye?


Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu.


Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu;


Lakini yeye naye ana akili, naye ataleta uovu, wala hatayatangua maneno yake; bali ataondoka juu ya nyumba yao watendao mabaya, na juu ya msaada wa hao watendao maovu.


Na nabii akidanganyika, na kusema neno, mimi, BWANA, nimemdanganya nabii yule, nami nitaunyosha mkono wangu juu yake, na kumwangamiza, asiwe kati ya watu wangu Israeli.


Danieli akajibu, akasema, Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]