Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 11:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aha! Laiti kwamba Mungu angesema, kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aha! Laiti kwamba Mungu angesema, kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 11:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wewe wasema, Mafunzo yangu ni safi, Nami ni safi machoni pako.


Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.