Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa wewe wasema, Mafunzo yangu ni safi, Nami ni safi machoni pako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe wadai: ‘Ninachosema ni kweli, naam, sina lawama mbele ya Mungu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe wadai: ‘Ninachosema ni kweli, naam, sina lawama mbele ya Mungu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe wadai: ‘Ninachosema ni kweli, naam, sina lawama mbele ya Mungu.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili nami ni safi mbele zako.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili nami ni safi mbele zako.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa wewe wasema, Mafunzo yangu ni safi, Nami ni safi machoni pako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 11:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako?


Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;


Ni nani awezaye kutoa kitu kilicho safi kitoke katika kitu kichafu? Hapana awezaye.


Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Ni haki yangu mbele za Mungu,


Hapo ndipo ningefarijika hata sasa; Naam, ningejikuza katika maumivu yasiyoniacha; Kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.