Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 11:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Yobu, ukiufanya moyo wako mnyofu, utainua mikono yako kumwomba Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Yobu, ukiufanya moyo wako mnyofu, utainua mikono yako kumwomba Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Yobu, ukiufanya moyo wako mnyofu, utainua mikono yako kumwomba Mungu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake na kumwinulia mikono yako,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake na kumwinulia mikono yako,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 11:13
18 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akatenda yaliyo maovu, kwa kuwa hakuukaza moyo wake amtafute BWANA.


Walakini, yameonekana kiasi cha mema ndani yako, kwa kuwa umeyaondoa Maashera katika nchi, na moyo wako umeukaza kumtafuta Mungu.


Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?


Ukimrudia Mwenyezi, utajengwa; Ukiuondoa udhalimu mbali na hema yako.


Utamwomba yeye naye atakusikia; Nawe utazitimiliza nadhiri zako.


Tazama, yu heri mtu yule Mungu amwadhibuye; Kwa hiyo usidharau kurudiwa na huyo Mwenyezi.


Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Nakunyoshea mikono yangu; Nafsi yangu inakuonea kiu kama nchi kame.


Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi itahimiza kumnyoshea Mungu mikono yake.


Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.


Naam, wasiwe kama baba zao, Kizazi cha ukaidi na uasi. Kizazi kisichojitengeneza moyo, Wala roho yake haikuwa amini kwa Mungu.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Musa akamwambia, Mara nitakapotoka mjini nitamwinulia BWANA mikono yangu; na hizo ngurumo zitakoma, wala haitanyesha mvua ya mawe tena; ili upate kujua ya kuwa dunia hii ni ya BWANA.


Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono.


Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana.


Basi Samweli akawaambia nyumba yote ya Israeli, akasema, Ikiwa mnamrudia BWANA kwa mioyo yenu yote, basi, iondoleeni mbali miungu migeni, nayo Maashtorethi yatoke kwenu, mkamwelekezee BWANA mioyo yenu, mkamtumikie yeye peke yake; naye atawaokoa katika mikono ya Wafilisti.