Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mikono yako imeniumba na kunifinyanga; Nawe utageuka na kuniangamiza?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mikono yako iliniunda na kuniumba, lakini sasa wageuka kuniangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mikono yako iliniunda na kuniumba, lakini sasa wageuka kuniangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mikono yako iliniunda na kuniumba, lakini sasa wageuka kuniangamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mikono yako imeniumba na kunifinyanga; Nawe utageuka na kuniangamiza?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Yuko nani atakayeshindana nami? Maana sasa nitanyamaza kimya na kukata roho.


Kwani najua kuwa utanileta hata kifoni, Niifikie nyumba waliyoaandaliwa wenye uhai wote.


Yeye anipondaye kwa dhoruba, Na kuyaongeza majeraha yangu pasipokuwa na sababu.


Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.


Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.


Mikono yako iliniumba na kunidhibiti, Unifahamishe nikajifunze amri zako.


BWANA atanitimizia malengo yake kwangu; Ee BWANA, fadhili zako ni za milele; Usiiache kazi ya mikono yako.


Mifupa yangu haikusitirika kwako, Nilipoumbwa kwa siri, Nilipoungwa kwa ustadi katika pande za chini za nchi;


Macho yako yaliniona kabla sijakamilika; Kitabuni mwako ziliandikwa zote pia, Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.


Yeye aiumbaye mioyo yao wote Na kuziona kazi zao zote.


Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.