Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata ukaulizauliza habari za uovu wangu, Na kuitafuta dhambi yangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata ukaulizauliza habari za uovu wangu, Na kuitafuta dhambi yangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.


Lakini sasa wazihesabu hatua zangu; Je! Huchungulii dhambi yangu?


Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?


Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Uuvunje mkono wa mdhalimu, Na mwovu, uipatilize dhuluma yake, hadi usiione.


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


Tena katika pindo za nguo zako imeonekana damu ya roho zao maskini wasio na hatia; sikuiona penye mahali palipobomoka, lakini niliiona juu ya hawa wote.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Lakini huko, kama mkimtafuta BWANA, Mungu wako, utampata, ukimtafuta kwa moyo wako wote, na roho yako yote.