Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Siku zako ni kama siku za mtu, Au je! Miaka yako ni kama miaka ya mtu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, siku zako ni kama za binadamu? Au miaka yako kama ya binadamu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, siku zako ni kama za binadamu? Au miaka yako kama ya binadamu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, siku zako ni kama za binadamu? Au miaka yako kama ya binadamu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Siku zako ni kama siku za mtu, Au je! Miaka yako ni kama miaka ya mtu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata ukaulizauliza habari za uovu wangu, Na kuitafuta dhambi yangu,


Tazama, Mungu ni mkuu, nasi hatumjui; Hesabu ya miaka yake haichunguziki.


Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


Wana wa watumishi wako watakaa, Na wazawa wao wataimarishwa mbele zako.


Na kama mavazi utazikunjakunja, na kama mavazi zitabadilishwa; Lakini wewe u yeye yule, Na miaka yako haitakoma.


Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.