Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Wewe una macho ya kimwili, Au je! Waona kama aonavyo binadamu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Wewe una macho ya kimwili, Au je! Waona kama aonavyo binadamu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Kwani macho yake yako juu ya njia za mtu, Naye huziona hatua zake zote.


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Akawaambia, Ninyi ndinyi mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu awajua mioyo yenu; kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.


Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho yake kama muali wa moto;


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.