Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikiinua kichwa tu waniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikiinua kichwa tu waniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikiinua kichwa tu waniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikiinua kichwa changu juu, unaniwinda kama simba, na kuonesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesagasaga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.


Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Nilijituliza hata asubuhi; kama simba, anaivunja mifupa yangu yote; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Basi, kwa hiyo, simba atokaye mwituni atawaua, mbwamwitu wa jioni atawateka, chui ataivizia miji yao, kila mtu atokaye humo atararuliwa vipande vipande; kwa sababu makosa yao ni mengi, na kurudi nyuma kwao kumezidi.


Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwanasimba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukua mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kuokoa.


Simba amekwisha kunguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana MUNGU amenena, ni nani awezaye neno ila kutabiri?


ndipo atakapofanya BWANA mapigo yako yawe ya ajabu, na mapigo ya uzao wako, mapigo makubwa kwa kweli, ya kudumu sana, na magonjwa mazito ya kudumu sana.