Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 10:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uliuumba mwili wangu kwa mifupa na mishipa, ukaifunika mifupa yangu kwa nyama na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uliuumba mwili wangu kwa mifupa na mishipa, ukaifunika mifupa yangu kwa nyama na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uliuumba mwili wangu kwa mifupa na mishipa, ukaifunika mifupa yangu kwa nyama na ngozi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 10:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wewe hukunimimina kama maziwa, Na kunigandisha mfano wa jibini?


Unanijalia uhai na fadhili, Na kwa uangalifu wako roho yangu imetunzwa.


Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu, Uliniunga tumboni mwa mama yangu.


Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo.