Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 8:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.


Tazama, sauti ya kilio cha binti ya watu wangu, itokayo katika nchi iliyo mbali sana; Je! BWANA hayumo katika Sayuni? Mfalme wake hayumo ndani yake? Mbona wamenikasirisha kwa sanamu zao walizochonga, na kwa ubatili wa kigeni?


Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiwa kwako.