Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 7:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likamjia, kusema,


Neno la BWANA likanijia, kusema,


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, katika habari za watu wote wa Yuda; katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda mwaka ule ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadneza, mfalme wa Babeli;


Watu watawaita taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.


Simama langoni pa nyumba ya BWANA, ukatangaze hapo neno hili, ukisema, Sikilizeni neno la BWANA, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwabudu BWANA.