Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 51:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivuko vya mito vimekamatwa, mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto, nao askari wameingiwa na hofu kuu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivuko vya mito vimekamatwa, mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto, nao askari wameingiwa na hofu kuu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 51:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

niviambiaye vilindi, Kauka, nami nitaikausha mito yako;


Tazama, watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza; hawatajiokoa kutoka kwa nguvu za muali wa moto; hili halitakuwa kaa la kujipasha moto, wala moto wa kuota.


Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.


Tarishi mmoja atapiga mbio kumlaki mwingine, Na mjumbe mmoja atapiga mbio kumlaki mwenziwe, Ili kumpasha habari mfalme wa Babeli, Ya kuwa mji wake umetwaliwa kila upande.


Kwa maana BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi; Binti Babeli amekuwa kama sakafu ya kufikichia wakati wa kukanyagwa kwake; bado kitambo kidogo na wakati wa mavuno utafika kwake.


Ukuta wa mji ukabomolewa, watu wote wa vita wakakimbia, wakatoka mjini usiku, kwa njia ya lango lililokuwa kati ya zile kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme; (basi wale Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji pande zote;) wakaenda zao kwa njia ya Araba.