Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 48:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hofu, na shimo, na mtego, zaja juu yako, Ee mwenyeji wa Moabu, asema BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hofu, na shimo, na mtego, zaja juu yako, Ee mwenyeji wa Moabu, asema BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 48:43
6 Marejeleo ya Msalaba  

Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Tazama, nitaleta hofu juu yako, asema Bwana, BWANA wa majeshi, itakayotoka kwa wote wakuzungukao; nanyi mtafukuzwa nje, kila mtu mbali kabisa, wala hapana mtu wa kuwakusanya wapoteao.


Nimekutegea mtego, Ee Babeli, nawe ukanaswa, nawe ulikuwa huna habari; umeonekana, ukakamatwa, kwa sababu ulishindana na BWANA.


Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.