Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 48:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Najua ghadhabu yake, asema BWANA, ya kuwa si kitu; majisifu yake hayakutenda neno lolote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema Mwenyezi Mungu, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema bwana, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Najua ghadhabu yake, asema BWANA, ya kuwa si kitu; majisifu yake hayakutenda neno lolote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 48:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huyabatilisha mashauri ya mataifa, Huitangua mipango ya watu.


Maana siko mashariki wala magharibi, Wala nyikani itokako heshima.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Tumesikia habari za kiburi cha Moabu, ya kwamba ni mwenye kiburi kingi; habari za majivuno yake, na kiburi chake, na ghadhabu yake; majivuno yake si kitu.


Upanga uko juu ya hao wajisifuo, nao watapumbazika; upanga uko juu ya mashujaa wake, nao watafadhaika.