Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 46:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Binti ya Misri ataaibishwa; Atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Misri wataaibishwa, watatiwa mikononi mwa watu kutoka kaskazini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Misri wataaibishwa, watatiwa mikononi mwa watu kutoka kaskazini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wa Misri wataaibishwa, watatiwa mikononi mwa watu kutoka kaskazini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Binti Misri ataaibishwa, atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Binti wa Misri ataaibishwa, atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Binti ya Misri ataaibishwa; Atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 46:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ee binti Babeli, uliye karibu na kuangamia, Heri atakayekupatiliza, ulivyotupatiliza sisi.


Kwa kuwa, tazama, nitaziita jamaa zote za falme za kaskazini, asema BWANA; nao watakuja, na kuweka kila mtu kiti chake cha enzi mbele ya mahali pa kuingilia malango ya Yerusalemu, na kuzielekea kuta zake pande zote, na kuielekea miji yote ya Yuda.


Panda uende Gileadi, ukatwae zeri, Ee binti, bikira wa Misri; unatumia dawa nyingi bure tu; hupati kupona kamwe.


BWANA asema hivi, Tazama, maji yanatokea katika pande za kaskazini, nayo yatakuwa mto ufurikao, nayo yataifunika nchi, na kila kitu kilichomo, huo mji na wote wakaao ndani yake; nao watu watalia na watu wote wakaao katika nchi wataomboleza.