Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 42:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mkisema, Hatutaki kukaa katika nchi hii; msiitii sauti ya BWANA, Mungu wenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Lakini mkisema: ‘Hatutaki kubaki katika nchi hii,’ na hivyo mkaacha kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Lakini mkisema: ‘Hatutaki kubaki katika nchi hii,’ na hivyo mkaacha kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Lakini mkisema: ‘Hatutaki kubaki katika nchi hii,’ na hivyo mkaacha kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini mkisema, ‘Hatutakaa katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wenu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hata hivyo, kama mkisema, ‘Hatutakaa katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii bwana Mwenyezi Mungu wenu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mkisema, Hatutaki kukaa katika nchi hii; msiitii sauti ya BWANA, Mungu wenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 42:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.


Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda.


Neno lile ulilotuambia kwa jina la BWANA, sisi hatutakusikiliza.