Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 4:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilikodoa macho wala sikuona mtu; hata ndege angani walikuwa wametoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilikodoa macho wala sikuona mtu; hata ndege angani walikuwa wametoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilikodoa macho wala sikuona mtu; hata ndege angani walikuwa wametoweka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilitazama, wala hapakuwa na watu; kila ndege wa angani alikuwa ameruka zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilitazama, wala watu hawakuwepo; kila ndege wa angani alikuwa ameruka zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 4:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata lini itaomboleza nchi, na kukauka majani ya nchi yote? Kwa ajili ya mabaya yao wakaao ndani yake, wanyama wameangamia na ndege pia; kwa sababu walisema, Yu kipofu katika njia zetu.


Kwa milima nitalia na kulalama, Na kwa malisho ya nyikani nitafanya maombolezo; Kwa sababu yameteketea, hata hakuna apitaye, Wala hapana awezaye kusikia sauti ya ng'ombe; Ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, Wamekimbia, wamekwenda zao.


Je! Nisiwaadhibu kwa mambo hayo? Asema BWANA; na nafsi yangu je! Nisijilipize kisasi juu ya taifa la namna hii?


hata samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, na vitu vyote vitambaavyo juu ya nchi, na wanadamu wote walio juu ya uso wa nchi, watatetemeka mbele ya uso wangu; nayo milima itatupwa chini, na magenge yataanguka, na kila ukuta utaanguka chini.


Kwa ajili ya hayo nchi itaomboleza, na kila mtu akaaye ndani yake atadhoofika, pamoja na wanyama wa porini na ndege wa angani; naam, samaki wa baharini pia wataangamizwa.