Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 39:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtwae, umtunze sana, wala usimtende neno baya lolote; lakini umtendee kama atakavyokuambia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mchukue Yeremia, umtunze vema wala usimdhuru; mtendee kama anavyokuambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mchukue Yeremia, umtunze vema wala usimdhuru; mtendee kama anavyokuambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mchukue Yeremia, umtunze vema wala usimdhuru; mtendee kama anavyokuambia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtwae, umtunze sana, wala usimtende neno baya lolote; lakini umtendee kama atakavyokuambia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 39:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote apendapo.


Je! Utavikazia macho vile ambavyo si kitu? Maana bila shaka mali hujifanyia mabawa, Kama tai arukaye mbinguni.


BWANA akasema, Hakika nitakutia nguvu upate mema; hakika nitamlazimisha adui akusihi wakati wa uovu, na wakati wa taabu.


Nami nitakuokoa kutoka kwa mkono wa watu wabaya, nami nitakukomboa kutoka kwa mkono wao wenye kutisha.


Kwa maana nitawaelekezea macho yangu, wapate mema, nami nitawaingiza katika nchi hii tena; nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nitawapanda wala sitawang'oa.


Basi Nebuzaradani, mkuu wa askari walinzi, na Nebu-Shazbani, mkuu wa matowashi, na Nergal-Shareza, mkuu wa wanajimu, na maofisa wote wakuu wa mfalme wa Babeli,


Na sasa, tazama, nakufungulia leo minyororo hii iliyo mikononi mwako. Kama ukiona ni vema kwenda Babeli pamoja nami, haya! Njoo, nami nitakutunza sana; lakini kama ukiona ni vibaya kwenda Babeli pamoja nami, basi, acha; tazama, nchi yote iko mbele yako; palipo pema machoni pako na pa kukufaa, nenda huko.


Nao wajapokwenda kuwa mateka mbele ya adui zao, nitauagiza upanga huko, nao utawaua; nami nitawaelekezea macho yangu niwatende mabaya, wala si mema.


akamtoa katika dhiki zake zote, akampa fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri; naye akamfanya awe mtawala juu ya Misri na nyumba yake yote.