Yeremia 33:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC
Tena, neno la BWANA likamjia Yeremia mara ya pili, hapo alipokuwa angali amefungwa katika uwanja wa walinzi, kusema,
Tazama sura
Matoleo zaidi
Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mara nyingine, wakati alipokuwa bado amefungwa katika ukumbi wa walinzi:
Tazama sura
Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mara nyingine, wakati alipokuwa bado amefungwa katika ukumbi wa walinzi:
Tazama sura
Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mara nyingine, wakati alipokuwa bado amefungwa katika ukumbi wa walinzi:
Tazama sura
Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la Mwenyezi Mungu lilimjia mara ya pili kusema:
Tazama sura
Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la bwana lilimjia mara ya pili kusema:
Tazama sura
Tena, neno la BWANA likamjia Yeremia mara ya pili, hapo alipokuwa angali amefungwa katika uwanja wa walinzi, kusema,
Tazama sura
Tafsiri zingine