Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 30:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na haya ndiyo maneno aliyosema BWANA, kuhusu Israeli, na kuhusu Yuda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haya ndiyo mambo aliyosema Mwenyezi-Mungu kuhusu watu wa Israeli na Yuda:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haya ndiyo mambo aliyosema Mwenyezi-Mungu kuhusu watu wa Israeli na Yuda:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haya ndiyo mambo aliyosema Mwenyezi-Mungu kuhusu watu wa Israeli na Yuda:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haya ndio maneno aliyoyanena Mwenyezi Mungu kuhusu Israeli na Yuda:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya ndiyo maneno bwana aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na haya ndiyo maneno aliyosema BWANA, kuhusu Israeli, na kuhusu Yuda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 30:4
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana, tazama, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapowarejesha watu wangu wa Israeli na Yuda waliofungwa, asema BWANA; nami nitawarudisha hadi katika nchi niliyowapa baba zao, nao wataimiliki.


Maana BWANA asema hivi, Tumesikia sauti ya tetemeko, na ya hofu, wala si ya amani.