Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 30:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 30:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwenyeji wa nchi ya pwani atasema katika siku hiyo, Angalia, haya ndiyo yaliyowapata watu wale tuliowatumainia, ambao tuliwakimbilia watuokoe kutoka kwa mfalme wa Ashuru; na sisi je! Twawezaje kupona?


Lakini jueni hakika kwamba, mkiniua, mtajiletea juu yenu damu isiyo na hatia itakuwa juu yenu, na juu ya mji huu, na juu ya wenyeji wake; kwa maana ni kweli BWANA amenituma kwenu, kuwaambieni yote mliyoyasikia.


basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitamwadhibu Shemaya, Mnehelami, na wazawa wake; hatakuwa na mtu atakayekaa katika watu hawa, wala hatayaona mema nitakayowatendea watu wangu, asema BWANA; kwa sababu amenena maneno ya uasi juu ya BWANA.


BWANA Mungu wa Israeli, asema hivi, ya kwamba, Uyaandike kitabuni maneno hayo yote niliyokuambia.