Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 28:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi nabii Hanania akafa, mwaka uo huo, mwezi wa saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi nabii Hanania akafa, mwaka huo huo, mwezi wa saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 28:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikampata vivyo hivyo, kwa kuwa watu wakamkanyaga langoni, akafa.


Tazama, mimi niko juu ya manabii, asema BWANA, wanaotumia ndimi zao na kusema, Yeye asema,


Ikawa, katika mwaka ule ule, mwanzo wa kutawala kwake Sedekia, mfalme wa Yuda, mwaka wa nne, mwezi wa tano, Hanania, mwana wa Azuri, nabii, wa Gibeoni, akasema nami ndani ya nyumba ya BWANA, mbele ya makuhani na watu wote, akisema,


Basi BWANA asema hivi, Tazama, nakutuma uende zako toka juu ya uso wa nchi; mwaka huu utakufa, kwa sababu umenena maneno ya uasi juu ya BWANA.


Maneno haya ndiyo maneno ya barua, ambayo nabii Yeremia alituma toka Yerusalemu, kwa hao waliobaki wa wakuu waliochukuliwa mateka, na kwa makuhani, na kwa manabii, na kwa watu wote, ambao Nebukadneza aliwachukua mateka toka Yerusalemu hadi Babeli;


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.


Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.