Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 26:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo watu kadhaa miongoni mwa wazee wa nchi wakaondoka, wakanena na mkutano wa watu, wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo watu kadhaa miongoni mwa wazee wa nchi wakaondoka, wakanena na mkutano wa watu, wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 26:17
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya Mmorashti, alitabiri katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda; akasema na watu wote wa Yuda, ya kwamba, BWANA wa majeshi asema hivi, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu, na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Hili ndilo neno la BWANA lililomjia Mika, Mmoreshathi, katika siku za Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; maono aliyoyaona kuhusu Samaria na Yerusalemu.


Lakini mtu mmoja, Farisayo, jina lake Gamalieli, mwalimu wa torati, mwenye kuheshimiwa na watu wote, akasimama katika baraza, akaamuru mitume wawekwe nje kitambo kidogo,