Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 25:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na wafalme wote wa Zimri, na wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wafalme wote wa Zimri, Elamu na Media;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wafalme wote wa Zimri, Elamu na Media;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wafalme wote wa Zimri, Elamu na Media;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na wafalme wote wa Zimri, na wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 25:25
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Shemu ni Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu.


Ikawa siku za Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, na Kedorlaoma mfalme wa Elamu na Tidali mfalme wa Goimu,


Akamzalia Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Sua.


Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili, ili ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu, na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.


Tazama, nitawaamsha Wamedi juu yao, ambao hawaoni fedha kuwa kitu, wala hawafurahii dhahabu.


Nimeoneshwa maono magumu; atendaye hila anatenda hila, mharibu anaharibu. Panda juu, Ee Elamu; husuru, Ee Umedi; mimi ninakomesha maombolezo yake yote.


Na Elamu wameshika podo, pamoja na magari ya vita, na watu wenye kupanda farasi; na Kiri wameifunua ngao.


Inoeni hiyo mishale; zishikeni ngao kwa nguvu; BWANA ameziamsha roho za wafalme wa Wamedi; kwa sababu shauri lake ni juu ya Babeli auangamize; maana ni kisasi cha BWANA, kisasi cha hekalu lake.


Wekeni mataifa tayari juu yake, wafalme wa Wamedi, na watawala wake, na wakuu wake, na nchi yote ya mamlaka yake.


Elamu yuko huko, na watu wake umati wote, pande zote za kaburi lake; wote pia wameuawa, wameanguka kwa upanga, walioshuka wakiwa hawajatahiriwa hadi pande za chini ya nchi; ambao waliwatia watu hofu katika nchi ya walio hai, nao wamechukua aibu yao, pamoja nao washukao shimoni.


PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.


Nami niliona katika maono; nilipokuwa natazama na nikajionea mwenyewe nikiwa huko Susa, Mji mkuu wa mkoa wa Elamu; nikaona katika maono, nami nilikuwa karibu na mto Ulai.


Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na Asia,