Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 25:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Farao, mfalme wa Misri, na watumishi wake na wakuu wake na watu wake wote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Farao, mfalme wa Misri, na watumishi wake na wakuu wake na watu wake wote;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 25:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri, na kuziteketeza, na kuwachukua mateka; naye atajipamba kwa nchi ya Misri, kama vile mchungaji avaavyo nguo zake; naye atatoka huko na amani.


Naye atazivunja nguzo za Beth-shemeshi, iliyoko huko katika nchi ya Misri, na nyumba za miungu ya Misri ataziteketeza.


Kuhusu Misri; habari za jeshi la Farao Neko, mfalme wa Misri, lililokuwa karibu na mto Frati katika Karkemishi, ambalo Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alilipiga katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda.